karibu

kwa habari moto moto

Friday, December 11, 2015

semenya apata mwezna

caster semenya apata jiko mwana riadha nguli wa afrika kusini custar semenya amepata jiko  baada ya kuonekana  wakfanya ndoa ya kimila mwanariadha huyo ambaye inasemekana anajinsia mbili ameonekana yuko katika sherehe za kimila kuonesha yuko tayari kupata mwenza
Embedded image permalink

moja ya picha zilizo enea mtandaoni na gazeti la sport24 limeeleza undani wa sherehe hiyo ingawaje semenya mara kwa mara amekuwa akikataa kuhusishwa na kupata mwenza na kuwahi kusema hizo ni habari tu za kidaku ambazo umeziskia katika magazeti
Embedded image permalink
moja ya picha zikimuonesha akiwa katika sherehe hiyo

sorce SPORT24

No comments:

Post a Comment