Baada ya dimond platnumz kufikisha followers milion moja miezi miatu iliyo pita akafuatiwa na wema sepetu kufikisha idadi hiyo baada ya hapo akaja mtangazi maarufu wa amplifaya millard ayo baaada milardy ayo kijiti kikaja kwa joketi mwongela akawa wanne sasa vannesa mdee nayo kafikisha followers milion moja
kwa kawaida ya wengi waliopita baada ya kufikisha idadi hiyo huwa wanaweka mbwembwe zao ila tofauti na v0money yeye bado haja weka kitu hongera vanesa unastahili
No comments:
Post a Comment