karibu

kwa habari moto moto

Monday, December 7, 2015

joketi mwongela awa mtanznia wa nne kufikisha followers milioni katika ukurasa wa instagram

joketi mwengelo  awa mtanzania wa nne kupata followers milion 1 wa kwanza alikuwa dimond akafuata wema sepetu  akaja millard ayo na sasa JOKET nae kafikisha followers milion moja



katika ukurasa  wake wa fecebook ame washukuru followers wake kwa kumfikisha hapo ameandika

GOOD MORNIGN , KISSES TO ALL  MY ONE MILLIONS ON INSTAGRAM,,, MU BUTHU BUTHU TELE KWENU NYOTE kwa kufikia milioni moja katika page yangu

No comments:

Post a Comment