karibu

kwa habari moto moto

Monday, December 7, 2015

belle 9 namuoa mbali

namuona belle 9 ehemu nyingine katika muziki wake,wakati wa Tanzania wengi waki pambana matui chuki na kudharauliana kati ya mashabiki wa alikiba for real na dimond platnumz kuna msanii mwingine ambaye mwaka 2016 huo utakuwa wake na atakuwa msanii mkubwa barani afrika na duniani kote, kwanini nimegusia na kuthubutu ukubwa wa belle 9
belle9 ni mzaliwa wa morogoro na amefanya nyimbo kali zote alizo wahi kufanya kifupi hazija wahi kubuma tangu atoe nyimbo zake na hilo halina ubishi kwa wasikiliza music swafi belle9 amefanya makubwa

moja ya watu ambao hana malumbano na mtu na anafanya muziki wake kwa utaratibu unao takiwa na pia anasubra,, bele 9 alishawahi kusema kuwa anacho mzidi dimond ni connection tu ila katika kuimba niko vizuri kuzidi yeye ,, hapa michukiulie bifu belle 9 ni muimbaji hodari sana na anavyo kuja sasa naona anakuja kivingine mara baada ya kutoa nyimbo yake  video
hivi sasa trace wanapiga nyimbo yake na pia kuna nyimbo nyinge inaitwa burger movie selfie,trace wamesema itakuwa


No comments:

Post a Comment