karibu

kwa habari moto moto

Tuesday, December 8, 2015

koffi olomide amesema kama itatokea ana matumaini kufanya collabo na Dimond platnumz

msanii mkongwe barani afrika na duniani koffii Charles Antonio olomide amesa ana matumaini kabisa kama itatokea collabo na msanii wa bongo flava nchini nasib abdul ama dimond paltnumz akizungunza na millard ayo tv alipotua dar es salaam 07.12.2015 ameseama kuwa kama itakuwepo ana matumaini kufanya nae

 koffi alomide amabaye alikuwa tangu zamani na nyimbo yake iitwayo shamukwale,,, kwa sasa ana kibao kipya kinacho ichwa EKOTITE  ambaypo kimeoneka kuwa bamba vilivyo watanzania wengi
hizi ni baadhi ya nyimbo zake





No comments:

Post a Comment