karibu

kwa habari moto moto

Saturday, January 30, 2016

wasanii wengi hawa kuwa wana mkubali kwa chuki zao kwa kuwa alikuwa ana ng`ara kila kukicha sharo millionea- KITALE

Musa yusuphu mahenge ama kwa jina lililopo katika headline hapa mjini kitale  amesema mengi kuhusu maisha yake ya sasa na filamu yake mpya ambae imetoka hivi karibuni ya shobo dundo ambae ameigiza na rafiki yake wa karibu hivi sasa stan bakora
kitale amesema marehemu sharo milionea ilikuwa nyota ambae kila siku ya  mungu ilikuwa ina waka yaani alikuwa anazidi kimarika kila kukicha hali hiyo imemfanya  wasanii wenzake wamchukie na kutaka kumshikia mapanga kumuua

kitale amesema kuwa wakati wapo mbeya kwa ajili ya kuigiza igizo jipya masele alimshikia panga na kutaka kuupiga nalo kichwani hivyo alifanya jitihada za kumuondoa na usiku wake wakajiengua na kuondoka kambini hapo ndipo wakakutana na ostaz juma na musoma pale morogoro hotelini
ostaz juma alitaka kujitangaza na pia awatangaze wao kwa alimpa laki nane kwa ajili ya kurekodi ndipo akarekodi  HILI DUEDE NOMA na sharo aka enda kwa c9 akarecord na canal top pamoja na rich mavoko
akiongea na millard ayo kitale amesema alikuwa nae bega kwa bega pia tofauti iliyopo kati ya yeye na mama yake sharo imeisha mara baada ya mzazi huyo kutangaza kuwa kuna baadhi ya mali ali baki nazo  kitale wakati huo huo kitale aliorodhesha mali zote na kumpatia mama yake marehemu na kitale amegundua kuwa aliye kuwa ana mjaza manenno mama sharo mtu mwingine lakini wamesha yamaliza
pia kitale aliongeza walikuwa na malengo makubwa na siku moja shalo alimueleza kuwa tufanye kazi wasio nikubali waje kunifuata kitale amesema kuwa chanzo cha chuki hizo na wasanii wenzake ni kupata kujulikana kila siku kukicha
ikumbukwe kuwa sharo milionea kabla ya umauti aliimba nyimbo na dully skies , alikiba,rich mavoko,canal top na nyimbo zote zikawa gunzo mjini either alizo pata kuzitolea video ni ya dully na rich mavoko
kitale ameongezea kuwa hata baada ya msiba wake wasanii wengi ambao walikuwa wote  hawa kuweza kuja

No comments:

Post a Comment