karibu

kwa habari moto moto

Friday, January 15, 2016

bongo wanabana location-hanscana

Muongaji wa video ya nasema nawewe ya dimond platnumz Hanscana amesema kinacho wafanya wasanii kutoka nje kwenda south africa  kutoa video kwa sababu ya location hapa bongo location zipo ila watu wanao hitajika watoe hizo location wanakataa director huyo ame itaka serikali ya dr john pombe magufuli kuingilia kati swala hilo ili hata watanzania waweze kuonesha vivutio vyao
hanscana ameongeza kuwa  wasanii wanaenda bondeni kwa ajili ya location na location yenyewe hotel wakati huo huo hotel zipo bongo tena nzuri na wakienda huko wana lipia kama milioni nne hivi sasa kama wamiliki wa hotel tanzania wakikubali hiyo pesa si wana nufaika wenyewe
ameongeza kuwa inabidi serikali hii iweke kifungu kabisa kama wata kataa wamiliki wa hotel wafungwa hayo ameyasema katika kipindi cha xxl kupita 255 ya perfect chrispin

hanscana akiwa moja ya harakati zake nyuma dimond kulia tudi thomas

No comments:

Post a Comment