hanscana ameongeza kuwa wasanii wanaenda bondeni kwa ajili ya location na location yenyewe hotel wakati huo huo hotel zipo bongo tena nzuri na wakienda huko wana lipia kama milioni nne hivi sasa kama wamiliki wa hotel tanzania wakikubali hiyo pesa si wana nufaika wenyewe
ameongeza kuwa inabidi serikali hii iweke kifungu kabisa kama wata kataa wamiliki wa hotel wafungwa hayo ameyasema katika kipindi cha xxl kupita 255 ya perfect chrispin

hanscana akiwa moja ya harakati zake nyuma dimond kulia tudi thomas
No comments:
Post a Comment