karibu

kwa habari moto moto

Monday, January 25, 2016

SINA UTAJIRI HUO WA KUFANYA NICHOME MOTO GARI YANGU KWA AJILI YA ARSENAL.madee

ametoa ufafanuzi kuhusu ahadi yake ya kuchoma gari lake mara baada ya kuahidi kabla ya mechi kuwa endapo arsenal ikifungwa na chelsea ata choma gari yake moja ambayo ataiweka manzese watu waje waichome hayo ameyasema shaffihdauda.com baada ya mechi kuisha arsenal ikifungwa goli 1-0 lililo fungwa na diego costa ambae amemsababishia kadi nyekundi nahodha msaidizi wa arsenal per metersacker

madee amesema kuwa ile ilikuwa aweke tention kwa mashabiki wa mpira Tanzania pia watu wengi walikuwa wana utaazama huo mchezo kupitia tension aliyo iweka na ameongeza kuwa hawezi kuchoma moto gari yake maana hana utajiri huo na hata kama angekuwa na utajiri kiasi gani asinge weza kuku furu hivyo
madee ni mmoja wa mastaa wanae ipenda sana arsenal na mfuatiliaji mzuri wa mpira ukiachana na madee  mastaa wengine wanae ipenda arsenal ni Roma mkatoliki,abdul kiba na WENGINE WENGI
arsenal imefungwa mechi zote mbili nyumbani na ugenini
wakati huo huo metheu flamini amevunja rekodi yake mara baada ya kucheza mechi 54 katika dimba la emirate bila ya kufungwa yaani mechi ambazo alizo anza yeye kwa mechi zote jana ni mechi ya 56kwa mtiririko mechi 56 ushindi mechi 36 draw 16 na kufungwa moja

No comments:

Post a Comment