karibu

kwa habari moto moto

Friday, January 8, 2016

bilion 18.77 zimetolewa shule zote za serikali nchi nzima kwa ahadi ya shule bure msinig hadi kidato cha nne

Raisi john pombe magufuli ameanza kutekeleza agizo na ahadi yake ya kuwa elimu itakuwa bure kuanzia chekechea hadi kidato cha nne kwa wanafunzi wote Tanzania hii aliitoa wakati akiwa katika kampeni za uchaguzi mkuu ambazo zilifanyika  octoba mwaka ulipita na yeye kuibuka mshindi kwa kura milioni 8 dhidi ya milion sita za edward lowasa
akizungunza na waandishi wa habri waziri wa fedha dk phiph mipango ametanabaisha kuwa pesa tayari zisha mwagwa mashuleni na halimashauri zote nchini Tanzania hivyo kutoa fursa kwa wat0t0 kuweza kujisomea bure
hapo awali kulikuwa na simtofahamu baada ya wengi kukosoa ahadi hiyo lakini waziri wa fedha amesema takribani milion 18.77 tayari zimetoka na amewataka waandishi wa habari kusambaza habari hizo kwa shule zote  kubandika kiasi walicho pokea kutoka hailimashauri ili watu wa eneo husika wafahamu kuwa kiasi gani shule yao imepokea

Waziri wa fedha dk PHILIPH MPANGO
Aidha mheshimiwa  dk philiph mpango amesema kuwa  bilion  15 zimetolwea katika shule hizo na bilioni 3 zimetengwa kwa ajili ya wasimamizi wa mitihani ukijumlisha utapata bilioni 18

No comments:

Post a Comment