akizungunza na waandishi wa habri waziri wa fedha dk phiph mipango ametanabaisha kuwa pesa tayari zisha mwagwa mashuleni na halimashauri zote nchini Tanzania hivyo kutoa fursa kwa wat0t0 kuweza kujisomea bure
hapo awali kulikuwa na simtofahamu baada ya wengi kukosoa ahadi hiyo lakini waziri wa fedha amesema takribani milion 18.77 tayari zimetoka na amewataka waandishi wa habari kusambaza habari hizo kwa shule zote kubandika kiasi walicho pokea kutoka hailimashauri ili watu wa eneo husika wafahamu kuwa kiasi gani shule yao imepokea

Waziri wa fedha dk PHILIPH MPANGO
Aidha mheshimiwa dk philiph mpango amesema kuwa bilion 15 zimetolwea katika shule hizo na bilioni 3 zimetengwa kwa ajili ya wasimamizi wa mitihani ukijumlisha utapata bilioni 18
No comments:
Post a Comment