karibu

kwa habari moto moto

Saturday, January 23, 2016

vazi la kijeshi lina maana kubwa

Raisi wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mheshimiwa dkt John pombe magufuli ni rais wa kwanza  ja ya nchi hii kuvaa nguo au gwanda za kijeshi unaweza kujiuliza kwa watu wa zamani kuwa mbona baba wa taifa alivaa hizi wakati wa vita ya uganda na Tanzania,utofauti uliopo ni kwamba
magwanda yaliyo tumika kwa mwalimu julius kambarage nyerer  haya kuwa na vyeo, Aidha jeshi ni taasisi ambayo imejengwa kwenye mfumo,sgeria,miongozo na taratibu imara ambazo hazipaswi kuingiliana na mifumo ya kisiasa izingatiwe kuwa vyeo  ni lazima vitokane na mafunzo na  elimu pia utumishi husika
jibu liko hapa raisi mteule wa awamu ya nne alikuwa ni mwanajeshi wa cheo cha luteni kanali. hata kama angeamua siku moja kuvaagwanda wala asingeweza kuvaa kwa cheo chake bali ange vaa plan mfano halisi angali hata raisi wa kenya huwa ana vaa plan yaani ange vaa plan kwa hadhi yake ya ukuu wa nchi na majeshi ya ulinzi na usalama
Aidha uvaaji wa gwanda za jeshi ni jambo la kisheria hivyo lilazimishe masharti endapo mkuu wa nchi anataka kulitumia
kwa nchi yetu jeshi letu halijawahi kubuni cheo cha Amiri jeshi mkuu kwa kuwa kimafunzo na kitaratibu cheo kikuu cha mwisho ndani ya jeshi letu ni General. yawezekana gwanda alilovaa uhuru kenyata  ni ile tafsiri yake ni cheo cha FIELD MARSHALL ambacho kwa taratibu za kijeshi hutunukiwa baada ya kupigana vita ambacho kwa taratibu za kijeshi hutunukiwa baada ya baada ya kuwa amepiganisha vita nyingi na amepiganisha vita vingi na kushinda wa utaalam au medani za kivita kwa utaratibu za za kijeshi vazi la kenyatta ni kituko
Tukumbuke   yoweri museni ni mwqana jeshi wa cheo cha ujeneral  hivyo kwake kwake kuvaa gwanda ni sahihi kwa cheo hiko na kupigiwa saluti kwa cheo chake cha Amiri jeshi mkuu na siyo vyeo alivyovaa
mfumo wa jeshi haupigi saluti vyeo au gwanda bali mtu na hadhi yake kwa cheo chake ndiyo maana  mwanajeshi wa cheo fulani huendelea kupigiwa saluti hata pale hayupo katika uniform za kijeshi
 katika hili tumejisfunza mengi kuhusu uvaaji wa hizi sare maalumu na muhimu katika jeshi pia tuangalie sio kila kitu kinacho fanywa na wenzetu ni sahihi au tuige hapana

No comments:

Post a Comment