moja ya vitu vinavyo vutia siku hizi ni mtndao wa instagran wakati wakenya wakiomba wa tanzania tufungiwe katika mtandao huo huku watanzania tukiona kuwadharau na kuwa bussy na zawadi nyingi kutoka katika wasani na wana michezo hivi karibuni kulikuwa na mlolongo mrefu wa watu maarufu kupata wafuasi wengi katika mtandao huo wa picha ambapo imekuwa desturi yetu kila mmojawapo akifiksha wafuasi milioni moja tutamtaja safari hii imeangukia kwa shilole
shilole amepata wafuasi milioni moja wiki hii katika account yake ambayo ameandika shishi baby katika kukumbuka tu wa awali kabisa ni dimond platnumz akafuata millard ayo akafuata wema sepetu akaja vanesa mdee akafuatia joketi kidoti na akaja jackline wolper na hatimae shilole mtoto wa nzega
amabapo kwa sasa hayupo tena na Nuh mziwanda hayo ameya tanabaisha kupitia bongo five kuwa it is over me na nuhu amesema shilole
No comments:
Post a Comment