karibu

kwa habari moto moto

Monday, January 18, 2016

ney wa mitego sio mwana hip hop-fid q

Fid q ametanabaisha kuwa kwa sasa wanafikiria kuiondoa bongo hip hop katika bongo flava ili ijulikane kuwa nani nanani anae fanya vizuri katika tasnia hiyo akizungunza na clouds fm kipindi cha xxl kipegele cha 255 fi q amesema kuna wasanii ambao wapo kaatika hip hop yaani wana rap ila hawafanyi hiphop mfano amemtaja ney kuwa sio mwana hiphop ila anarap
fid q amewataja baadhi ya watu wa hip hop kuwa young killer ,joy moe stamina, country boy na wengine ila ney wa mitego si mwana hip hop bali ni rap maana unaweza ukarap ila ukawa sio mwana hip hop


wakati huo huo adam mchomvu ameulizwa swala hilo yeye amejibu kuwa ney wa mitego sio mwana hip hop na kuanzia leo anatolewa rasmi katika categories ya hip hop

No comments:

Post a Comment