karibu

kwa habari moto moto

Monday, January 18, 2016

MWANDISHI NGOSWE KITOVU CHA UZEMBE AFARIKI DUNIA

Edwin senzaba ni mhadhiri chuo kikuu cha dar es salaam lakini pia ni maarufu kwa kitabu chake cha NGOSWE KITOVU CHA UZEMBE  ambayo kilipendwa na kinaendlea kupendwa  nchhini na hata nchi za karibuni mwa tanzania


ngoswe kitovu cha uzembe kina zungunzia maisha ya kawaida na ya kila siku ya mwanadamu na udhaifu wake ambavyo kitabu hiko kina tumika kujibia maswali ya somo la kiswahili kidato cha nne



No comments:

Post a Comment