karibu

kwa habari moto moto

Friday, February 12, 2016

shetta acha kutumia jina la mamba mara moja-dudubaya

Msanii dudu baya ame ongea na team tz na mwandishi aitwaye emanuel amemwambia kuwa shetta aaache mara moja kutumia jina la Mambo vinginevyo yale yaliyo mkuta mr nice ndiyo yatakayo tokea kwake mkali huyo wa zamani alie hit na ngoma zake miaka ya 2000 ame muasa shetta kuacha maaroa moja kutmia mamba ili awe salama maana msanii huyo anae sifika kwa ugomvi miaka ya katikakti ya 2003 ali mpiga mr nice na kesi yake kudumu miezi sita mahakamani


shetta nae amesikia katika media akitumia jina hilo la mamba kumbuka siku hizi za karibuni kumetokea na ugomvi wa kugombania majina ili make headline pale dimond alipo tumia jina la simba ambao jina hilo la afande sele mr blue kaja juu na ikawa gunzo mitandaoni hivi sasa imerudi kwa sheta naye kutumia jina hilo la mambo dudu baya amejitokeza tena kaongeza a.k.a nyingie ya kujiita oil chafu
makli huyo wa hit song ya nakupenda amesema juma tatu hii ataweka ngoama yake mpya mkito na leo itaanza kusikika club ngoma yake

No comments:

Post a Comment