
shetta nae amesikia katika media akitumia jina hilo la mamba kumbuka siku hizi za karibuni kumetokea na ugomvi wa kugombania majina ili make headline pale dimond alipo tumia jina la simba ambao jina hilo la afande sele mr blue kaja juu na ikawa gunzo mitandaoni hivi sasa imerudi kwa sheta naye kutumia jina hilo la mambo dudu baya amejitokeza tena kaongeza a.k.a nyingie ya kujiita oil chafu
makli huyo wa hit song ya nakupenda amesema juma tatu hii ataweka ngoama yake mpya mkito na leo itaanza kusikika club ngoma yake
No comments:
Post a Comment