karibu

kwa habari moto moto

Saturday, February 6, 2016

Nilikuwa naficha uhalaza wangu sasa mambo wazi-Neyo

huu ndio muonekano wa neyo ambao siku nyingi alificha muonekano wake  baada ya kusema kuwa kila kitu kina wakati wake

wengi tulifahamu kuwa ile ilikuwa ni fasheni kumbe alikuwa ana ficha uhalaza wake

moja ya picha zilizoko mtandaoni, supertstar huyo ambae alikuja katika project ya coke studio akifanya kazi na alikiba pia kufanya collabo na dimond amepiga picha  akiwa na mke wake akionekana ana ujauzito sasa ndio habari iliyo tazamwa zaidi mitandaoni


No comments:

Post a Comment