
wengi tulifahamu kuwa ile ilikuwa ni fasheni kumbe alikuwa ana ficha uhalaza wake

moja ya picha zilizoko mtandaoni, supertstar huyo ambae alikuja katika project ya coke studio akifanya kazi na alikiba pia kufanya collabo na dimond amepiga picha akiwa na mke wake akionekana ana ujauzito sasa ndio habari iliyo tazamwa zaidi mitandaoni
No comments:
Post a Comment