karibu

kwa habari moto moto

Tuesday, February 9, 2016

Alikiba-njoo tarehe 14 ununio hawai mmuone baby number one wangu katika valentine day

alikiba akiongea na clouds fm katika kipind cha leo tena amesema siku ya  tarehe 14,02,2014  ata kuja na baby wake siku hiyo ili waweze kumjua maana watu wana hamu ya kumjua, kiba amesema kuwa baby number one wake anamsaidia vitu vingi haswa akipata strees za watu pia mitandao ya kijamii yeye huwa ana mpooza na ana mshauri vitu vingi sana


alikiba akifanya tour yake ya lupela ambayo ndiyo hitsong yake alie itoa hivi karibuni pia amefanya mahojiano na djtas wa magic fm alipo muuliza kuwa naomba uchague muziki mmoja wa dimond akauchagua je utanipenda  kwa kuonesha kuwa ana sikiliza miziki na ngoma kali za wasanii wote
hit maker huyo wa chekecha  mwana na hivi sasa lupela mabapo ni nyimbo tatu tangu arudi miaka miwili iliyo pita na nyimbo moja ya kushirikiana ametanabaisha kuwa collabo ziko baadhi amefanya na nyingine zina kuja ila collabo itakayo fuata itakuwa na sauti sol
dj tasi pia alimuuliza kuhusu ne-yo  akasema vitu vyake vitakuwa suprize kwahiyo wasubiri mwaka huu vitu vizuri vitakuja

No comments:

Post a Comment