karibu

kwa habari moto moto

Thursday, February 11, 2016

nitafanya collabo na alikiba pia christian bella popote alipo namtafuta-seyi shay

shey shay ni msanii wa nigeria amepata umaarufu kwa nyimbo yake ambae ame shuti na @mejialabu wimbo unaitwa right now sasa ametua Tanzania katika show ya mwanza jembe ni jembe ambayo inafayika mwanza valentine day hii shey shay amesema mengi haswa alivyo tua uwanja wa ndege wa julias nyerere millard ayo ndio wa kwanza kumnasa kikubwa maezungunzia show pamoja na mambo mengine ya kimuziki hii itakuwa habari nzuri kwa muziki wa Tanzania msanii huyu ametananbaisha

SEYI SHAY AKIWA KATIKA POZI LA PICHA

kuwa atafanya collabo na ALIKIBA pia ben paul alipo fika katika kipindi cha xxl kinacho endeshwa na bdozen shey sey amesema ana mkubali alikiba japo pia dimond japo hana masawasiliano nae pia amewaomba watangazaji hao wamtafutwe christian bella popote alipo anataka kufanya nae collabo hiyo ameisema wazi yoyote atakae sikia  amwambie ndipo bidozen amesema watawasilisha ombi hilo kwa king of melody christian bella
kumbuka @mejialab amefanya video kali kama ya wizdkid,alikiba chekecha na nyingine nyingi

No comments:

Post a Comment