karibu

kwa habari moto moto

Tuesday, February 16, 2016

wasanii wa vichekesho inatakiwa wajiongeze,alikiba ni msanii aliye jitosheleza dimond mfanya biashara-KITALE

Wasanii wengi wa sanaa ya vichekesho hawa ji brand bado  wako kama bidhaa maana kuna bidhaa na  brand hayao ni maneno ya mkude simba au kitale na jina aliyo jingine bwakila
akizungunza na kipindi cha mkasi kinacho rushwa na salama jabir mkude ameeleza jinsi wasanii wanatakiwa wanjiongeze ili waweze kunufaika zaidi waongeze ubunifu ili sanaa ya vichekesho izidi kukua alipo ulizwa kuhusu yeye na wasaniiwenigne amesema kuwa yeye ni brand ambayo ina jiongeza  hivyo wasanii ina bidi wakune vichwa

alikiba ni msanii aliye jikamilisha  dimond ni mfanya  biashara  ukikaa na watu wanae jua muziki utaweza kuelezwa vingi na utofauti  ya hawa wasanii alikiba na dimond hawana bifu bifu ina tengenezwa na mashabiki,, alikiba akienda kigoma anashuka ana niacha morogoro yeye anaendelea  ana wakubali wote ila alikiba ni msanii na dimond mfanya biashara
ameongeza kuwa kabila la waruguru ni wabishi mno na ndio maana ame tumia sanaa yake kuweza kuelezea japo sio kwa ubaya
pia ameeleza JOTI,MPOKI NA MZEE MAJUTO ndio haswa ana wakubali  na anatamani waje kufanya kitu kikali kama ikitokea

Friday, February 12, 2016

shetta acha kutumia jina la mamba mara moja-dudubaya

Msanii dudu baya ame ongea na team tz na mwandishi aitwaye emanuel amemwambia kuwa shetta aaache mara moja kutumia jina la Mambo vinginevyo yale yaliyo mkuta mr nice ndiyo yatakayo tokea kwake mkali huyo wa zamani alie hit na ngoma zake miaka ya 2000 ame muasa shetta kuacha maaroa moja kutmia mamba ili awe salama maana msanii huyo anae sifika kwa ugomvi miaka ya katikakti ya 2003 ali mpiga mr nice na kesi yake kudumu miezi sita mahakamani


shetta nae amesikia katika media akitumia jina hilo la mamba kumbuka siku hizi za karibuni kumetokea na ugomvi wa kugombania majina ili make headline pale dimond alipo tumia jina la simba ambao jina hilo la afande sele mr blue kaja juu na ikawa gunzo mitandaoni hivi sasa imerudi kwa sheta naye kutumia jina hilo la mambo dudu baya amejitokeza tena kaongeza a.k.a nyingie ya kujiita oil chafu
makli huyo wa hit song ya nakupenda amesema juma tatu hii ataweka ngoama yake mpya mkito na leo itaanza kusikika club ngoma yake

Thursday, February 11, 2016

nitafanya collabo na alikiba pia christian bella popote alipo namtafuta-seyi shay

shey shay ni msanii wa nigeria amepata umaarufu kwa nyimbo yake ambae ame shuti na @mejialabu wimbo unaitwa right now sasa ametua Tanzania katika show ya mwanza jembe ni jembe ambayo inafayika mwanza valentine day hii shey shay amesema mengi haswa alivyo tua uwanja wa ndege wa julias nyerere millard ayo ndio wa kwanza kumnasa kikubwa maezungunzia show pamoja na mambo mengine ya kimuziki hii itakuwa habari nzuri kwa muziki wa Tanzania msanii huyu ametananbaisha

SEYI SHAY AKIWA KATIKA POZI LA PICHA

kuwa atafanya collabo na ALIKIBA pia ben paul alipo fika katika kipindi cha xxl kinacho endeshwa na bdozen shey sey amesema ana mkubali alikiba japo pia dimond japo hana masawasiliano nae pia amewaomba watangazaji hao wamtafutwe christian bella popote alipo anataka kufanya nae collabo hiyo ameisema wazi yoyote atakae sikia  amwambie ndipo bidozen amesema watawasilisha ombi hilo kwa king of melody christian bella
kumbuka @mejialab amefanya video kali kama ya wizdkid,alikiba chekecha na nyingine nyingi

Tuesday, February 9, 2016

Alikiba-njoo tarehe 14 ununio hawai mmuone baby number one wangu katika valentine day

alikiba akiongea na clouds fm katika kipind cha leo tena amesema siku ya  tarehe 14,02,2014  ata kuja na baby wake siku hiyo ili waweze kumjua maana watu wana hamu ya kumjua, kiba amesema kuwa baby number one wake anamsaidia vitu vingi haswa akipata strees za watu pia mitandao ya kijamii yeye huwa ana mpooza na ana mshauri vitu vingi sana


alikiba akifanya tour yake ya lupela ambayo ndiyo hitsong yake alie itoa hivi karibuni pia amefanya mahojiano na djtas wa magic fm alipo muuliza kuwa naomba uchague muziki mmoja wa dimond akauchagua je utanipenda  kwa kuonesha kuwa ana sikiliza miziki na ngoma kali za wasanii wote
hit maker huyo wa chekecha  mwana na hivi sasa lupela mabapo ni nyimbo tatu tangu arudi miaka miwili iliyo pita na nyimbo moja ya kushirikiana ametanabaisha kuwa collabo ziko baadhi amefanya na nyingine zina kuja ila collabo itakayo fuata itakuwa na sauti sol
dj tasi pia alimuuliza kuhusu ne-yo  akasema vitu vyake vitakuwa suprize kwahiyo wasubiri mwaka huu vitu vizuri vitakuja

Saturday, February 6, 2016

Nilikuwa naficha uhalaza wangu sasa mambo wazi-Neyo

huu ndio muonekano wa neyo ambao siku nyingi alificha muonekano wake  baada ya kusema kuwa kila kitu kina wakati wake

wengi tulifahamu kuwa ile ilikuwa ni fasheni kumbe alikuwa ana ficha uhalaza wake

moja ya picha zilizoko mtandaoni, supertstar huyo ambae alikuja katika project ya coke studio akifanya kazi na alikiba pia kufanya collabo na dimond amepiga picha  akiwa na mke wake akionekana ana ujauzito sasa ndio habari iliyo tazamwa zaidi mitandaoni


Monday, February 1, 2016

arsenal itakumbushia fainali ya 2014 ya fa itakutana na Hull city raundi ya tano kombe la chama cha soka uingereza FA


mabingwa watetezi kombe la fa watakutana na hull city hii kama fainali ya fa 2014 ambapo arsenal walichukua lakini  mechi kali manchester united dhidi ya chelsea
ratiba kamili kama hivi
Araenal vs gull city
Manchester uniited vs Chelsea
tottenham spurs vs crystal palace
liverpool au westham  vs  blackburn
reading vs westbrom au paterborough

lupela kutoka february 4, 2016-alikiba

star wa muziki wa bongo flava na ngoma kama my everything, mwana,chekecha,mali yangu, nagharamia alikiba anatarajia kutoa video yake na audio ya nyimbo yake ya lupela ambayo itakuwa tayari tarehe 4 mwezi huu 02 ,2016 siku ya alhamisi ambapo mashabiki wake wapo na hamu kuweza

kuiona video hiyo ambayo  video quen ni Aaliyah_janey wa usa na director kevin donavon mkongwe pale hollwood