karibu

kwa habari moto moto

Tuesday, October 11, 2011

WAHADHIRI WA CHUO CHA SAUTI WAIZUNGUMZIA MIAKA 50 YA UHURU KWA NAMNA YAKE

Wahadhiri wa chuo kikuu cha sauti mkoani mtwara waizungumnzia miaka 50 ya uhuru kwa namna yake ambayo tuna adhimisha tarehe 9 december mwaka huu hayo yalisemwa jana na doctor AIDANI MSAFIRI wakati aklizungumnza na waandishi wa habari ofisini kwake

Doctor msafiri amesema tenasherehekea miaka 50 ya uhuru lakini amani haipo serikali asidhani kuwa kupigana ndio uvunjifu wa amani,amani ni ile hali ya kupata kile unacho kihitaji endapo hauna chakula hiyo siyo amani iliyo kusudiwa pia amehoji shule,barabara hospitali zipo lakini zina uboro kwa maana wafanya kazi wenye elimuwapo, zte hizo ni cha ngamoto ambazo serikali inabidi ijipange

pia amehoji ndani ya siasa kunavitu vitatu muhim vipo 1.uwazi-transparent 2.uwajibikaji-responsibility 3.maadili-ethics mambo hayo ndani ya democrasia ya tanzania hakuna ndani ya miaka 50 pia ameomba serikali iwajibike pamoja na wananchi ili tupeleke mbele taifa letu

Naye mhadhiri afisa tawala na mipango chuoni hapo ndugu GAMA yeye amesema mabadiliko yapo mengi sana kulinganisha na zama zile za uhuru ametolea mfgano zamani kutoka mtwara kwenda da re ssalaam walitumia siku tatu sasa masaa 8 upo dar er salaam pia kuna hospitali na shule kila kata naye ameiomba serikali iwajibike na asimame kama serikali ili waimarike zaidi katika utendaji wa kazi kwan isasa serikali ina changamoto ya ukosefu wa umeme

No comments:

Post a Comment