karibu

kwa habari moto moto

Friday, March 18, 2016

oprah ilinipa umarufu -irine uwoya

Msanii wa filamu za Tanzania Bongo movie IRENE UWOYA ameweka wazi wakati anaanza sanaa wazazi wake hawakuwa kutaka afanye kazi hiyo.

Uwoya filamu yake ya awali ilikuwa inaitwa 'DIVISION OF LOVE' kabla ya kufanya OPRAH ambayo imempa umaarufu mkubwa katika filamu hiyo ambayo wapinzani wakubwa kipindi hiko Ray kigos na Steven kanumba walikuwepo katika filam hiyo.ameyasema hayo e.fm kipindi cha uhondo.

Uwoya ambae ana mtoto mmoja aitwaye Crishna amesema filamu hiyo ilimfanya apate mafanikio na hata mme wake ambae amezaa mtoto Suleimani Ndikumana alimueleza kuwa hiyo movie ndio sababu ya kumpenda hadi kumuoa.

amewaasa wasanii wachanga haswa wakike kuwa wabunifu hata wakiwa katika tasnia hii wajaribu kuwa wabunifu ili wapate nafanikio zaidi. 

kuhusu uhusiano na msami amesema  kwa sasa yupo "single" hana mtu na kuhusu ndikumana ameomgeza kuwa hawajaachana kwani hakuna talaka iliyotoka ila kwa sasa wako mbali

uwoya atakuwa na movie yake inayoitwa kisoda na pia mambo mengine mazuri yanakuja

No comments:

Post a Comment