hayo ameyasema wakati akifanya mahojiano katika kipindi cha michezo cha asubuhi cha e.fm kinachoendeshwa na omary Katanga.

hayo yamekuja mara baada ya muda Jeri Muro kulisema kabila la Kizaramo ambali ndio kabila lake Haji Manara ambae ametanabaisha kuwa kabila hilo ndilo lililo anzisha yanga na simba, Yanga1935 na 1936 kwa Simba.
ushabiki na utani wa jadi utabakia pale pale wala hauwezi kuisha ila sio kutoa thamani ya utu hali ya kuwa jioni wanakaa wote kaitka vijiwe vya kahawa.
pia Haji hakubaliani na Tff kuwa achia viporo vingi yanga na azam ambao walikuwa katika michezo ya kimataifa. hadi sasa yanga ana viporo 2 azam 2 .
kabla ya kumaliza mahojiano hayo manara amewaomba waandishi wa habari atakuwa na taarifa kwa vyombo vya habari .
No comments:
Post a Comment