karibu

kwa habari moto moto

Wednesday, February 15, 2012

KONDICH AHOFIA ZAMALEKI

Kocha wa timu ya mabingwa wa tanzania dar young africans ahofia zamaleki katika mchezo wa klabu bingwa afrika utakao fanyika wiki hii
akizungumnza hayo na waandishi wa habari wakati akifanya mazoezi na timu hiyo na kusema kuwa timu hiyo ipo katika wakati mgum wa mazoezi kwani maandalizi yake si ya kufurahisha
 hivyo kocho huyo amewataka wachezaji wake kujiandaa vizuri na mchezo huo

No comments:

Post a Comment