karibu

kwa habari moto moto

Tuesday, December 6, 2011

IMANI ZA KISHIRIKINA MKOANI MTWARA

Wananchi wa mkoa wa mtwara wame choma moto pikipiki ya askari kwa hasira mara baada ya askari hao kusimamisha shughuli za utoaji uchawi,hayo yametokea baada ya waganga kufika kwenye eneo la mwenyekiti wa ccm ambapo mwenyekiti huyo mara alivyoona waganga hao wakifika eneo lake akaamua kuwapigia simu polisi kwa madai ya kufanyiwa fujo eneo lake hivyo askari hao walikuja kusimamisha tukio hilo
ndipo wananchi wenye hasira kali kuamua kuwashambulia askari hao na kuunguza pipiki hiyo askari wanaripoyiwa kuwa hospitali kwa matibabu

No comments:

Post a Comment