karibu

kwa habari moto moto

Tuesday, February 16, 2016

wasanii wa vichekesho inatakiwa wajiongeze,alikiba ni msanii aliye jitosheleza dimond mfanya biashara-KITALE

Wasanii wengi wa sanaa ya vichekesho hawa ji brand bado  wako kama bidhaa maana kuna bidhaa na  brand hayao ni maneno ya mkude simba au kitale na jina aliyo jingine bwakila
akizungunza na kipindi cha mkasi kinacho rushwa na salama jabir mkude ameeleza jinsi wasanii wanatakiwa wanjiongeze ili waweze kunufaika zaidi waongeze ubunifu ili sanaa ya vichekesho izidi kukua alipo ulizwa kuhusu yeye na wasaniiwenigne amesema kuwa yeye ni brand ambayo ina jiongeza  hivyo wasanii ina bidi wakune vichwa

alikiba ni msanii aliye jikamilisha  dimond ni mfanya  biashara  ukikaa na watu wanae jua muziki utaweza kuelezwa vingi na utofauti  ya hawa wasanii alikiba na dimond hawana bifu bifu ina tengenezwa na mashabiki,, alikiba akienda kigoma anashuka ana niacha morogoro yeye anaendelea  ana wakubali wote ila alikiba ni msanii na dimond mfanya biashara
ameongeza kuwa kabila la waruguru ni wabishi mno na ndio maana ame tumia sanaa yake kuweza kuelezea japo sio kwa ubaya
pia ameeleza JOTI,MPOKI NA MZEE MAJUTO ndio haswa ana wakubali  na anatamani waje kufanya kitu kikali kama ikitokea

No comments:

Post a Comment