karibu

kwa habari moto moto

Friday, January 8, 2016

JARIDA LA MAREKANI AFRICAN SUN LAMTAJA KIKWETE RAISI BORA 2015 AFRIKA

Raisi mstaafu wa awamu ya nne wa jamhuri ya muungano wa Tanzania dr jakaya mrisho kikwete ametajwa kuwa ndiye rais bora barani afrika kwa muongo mmoja ulio pita ,kikwete ametajwa na jarida moja nchini marekani kama kiongozi ambaye amesimamia amani na kufuata democrasia ambayo nchi nyingine barani afrika wameshindwa kutekeleza hayo

kikwete pia amesistizwa kuwa anahitajika sana katika kutatua migogoro iliyopo barani afrika na kushughulikia mambo mengine barani humo

MAELEZO YA JARIDA HILO
Dr. Jakaya Kikwete, former President of the United Republic of Tanzania.  President Kikwete served his country for 10 years of two terms and participated actively in the selection of the successor President John Magufuli, thereby continuing the tradition of democratic governance in Tanzania, in contrast to some of the neighboring countries where Presidents have abrogated the constitution to further their political ambitions.  President has received so many honors for excellence and so many honorary doctorates by many universities.  Africa would continue to need him for the peace negotiations he achieved not only during his presidency, but as well as when he was Tanzania’s foreign minister for 10 years.”

No comments:

Post a Comment