karibu

kwa habari moto moto

Tuesday, November 24, 2015

Tujue nafasi za viungo tusichangnaye

mara nyingi wachezaji wanao cheza nafasi ya beki huwa hawana matatizo ila mashabiki huwa wanachanganya kujua kuanzia namba sita hadi 11 hapo ndio huwa wanachanganya madesa,hapo wengi hawajui kuwa yupi kiungo mkabaji yupi anae google na yupi anae weza kukaba na kushambulia leo hii tutatoa mifano kwa wachezaji wa arsenal kwahiyo uta angalia jinsi wanavyo fanya na utalinganisha na timu nyingine utajua kuanzia leo

Defensive midfield hapa sasa tunawakuta viungo kama metheu flamin na fransic coquelin hapa mbwiga ana kwambia ngada tu ngada ndio hawa hapa akina poul schols patric viera hawa kazi yao kubwa kuzuiya mashambulizi na kupandisha timu inapo kuwa katika hatari kazi zao hawa jamaa kuzuiya tu ila haimanishi ndio hawafungi magoli ila kazi kubwa kuzuiya timu pinzani isipte katika sehemuya tatu ya timu yoa

                                                        fransic coquelin akiwa kazi
hawa viungo ni wachache sana siku hizi kiungo mkabaji wanafosi makocha kuwa weka kuwa defensive pia hapa tuna wakuta wakina morgan Schneiderlin au mikel obi wa chelsea na henderson wa liverpool
Holding midfield hapa wapo wengi sana kama kina arteta ,Aaron ramsey na wengine wengi hawa wana element kama za defensive kuwa tofautisha huwa inak uwa ngumu sana ila kama ukijua mpira utajua kamabisa japo pia defensive mara nyingine ndio hao holding

Attacking midfield  hawa wapo katika makundi mawili kundi lakwanza cental attack midfield (cam) yaani number 10 na left midfield (lam) yani namba 11 na right midfield (ram)  yaani 7 hawaa wote ni viungo kwa mfano kuna wakati ozil alikuwa anacheza 11 ila bado ana base sana katikati ya pembeni

hapa sasa una mkuta mtu kama ozil,chamberlen, alexis anchez,



                                                     alexix sanchez
Box box midfield hapa sasa  una mzungunzia mtu kama Aaron ramsey  na webgine wengi tu kama watu hao kama juan mata ,oscar

deep lying midfield huyu yupo karibu na kiungo mkabaji mfano wake santi cazorla yeye kuzuia kidogo na kupandiha timu


hapo utakuwa kidogo umepata kuona jinsi gfani hawa viungo wnavyo changanya ila huyu cazorla mara nyingine anakaa kama play make wa timu

                                         amini nyaungo


No comments:

Post a Comment